Pages

Sunday, December 24, 2017

DR. SHIKA AWAJIBU WANAOSEMA ATAPOTEZWA NA BABU SEYA

December 9 2017 Kwenye usiku wa 900 Itapendeza DAR LIVE Mbagala Dar es salaam ambako Mgeni Rasmi alikuwa Dr. Shika alihojiwa na AyoTV kabla ya kwenda kwenye meza kuu na kuzungumzia kuachiwa kwa Babu Seya na Papi Kocha ambazo ndio habari kubwa za December 9.

No comments:

Post a Comment